Posts

Showing posts with the label Zabron singers

ZABRON SINGERS- SISI NDIO WALE LYRICS

Image
 Sisi ndio wale watoto wa Mungu Ukitugusa tapigwa na Mungu Na tulipo katuweka Mungu Ni mboni ya jicho lake huyu Mungu Sisi ndio wale twapendwa na Mungu Ukitugusa tapigwa na Mungu Chini juu katuleta Mungu Sio mchezo kupendwa na huyu Mungu Mungu ni mmoja hi dunia Nampenda namwamini Nmzungumzia Mungu mmoja yule wa upendo Pamoja twalisifu jina lake Ndiye Yesu mwenye jina kuu Heshima mamlaka vi mabegani mwake Na uweza na nguvu mtawala wa vyote Ndio maana twamsifu Hapa tulipo katuweka Mungu Hatungefika hapa bila yeye Nani wa kupinga Mungu akipanga hakuna mwingine kama huyu Mungu wetu Eh tunasema (eh ehe he ) Twapendwa (eh eh eh) Na Yesu  (eh eh eh) Ndio maana twamsifu Sisi ndio wale watoto wa Mungu Ukitugusa tapigwa na Mungu Na tulipo katuweka Mungu Ni mboni ya jicho lake huyu Mungu Sisi ndio wale twapendwa na Mungu Ukitugusa tapigwa na Mungu Chini juu katuleta Mungu Sio mchezo kupendwa na huyu Mungu Iwe shida na magonjwa Kiuma moyo hutibu Hata siwezi kueleza Mzuri ya huyu Yesu Tunalindwa tu

VICTORIA ZABRON-NIMEBAKI NA AMANI LYRICS

Image
 Mungu umenipa nafasi nyingine tena Nafasi ya kushukuru ule wema upendo wako Naomba uzima ,hekima yako Hata nisijivune maana wewe mtenda yote Hata yale yamepita ukaniongoza nimebaki na amani Na umeniweka pazuri nisnakushukuru Baba wa mbinguni Pamoja na shida zangu zote najua ukonami na iwe sehemu yangu Naomba baraka zako zije, zifike na unyenyekevu kama Mungu uishivyo Wanipenda na hujawai niacha kuna muda sivumilii Bado Mungu wangu wanipenda Wewe ni sababu ya mimi kuishi hata hapa niko na wewe Umenivusha kwa mambo mengi Mungu hufanya mambo makubwa kwangu nisiyo yajua Husimama namimi usiku mchana Hata nikatafuta wa kumwambia na sikumpata Nikakuona wewe Mungu mwenye upendo Mungu wewe una siri kubwa nisiyoijua Umenipigania (mmh) usiku mchana Haya mafanikio yakaja umekuwa na mimi Hujaacha nishindwe sifa zikurudie Pamoja na shida zangu zote najua ukonami na iwe sehemu yangu Naomba baraka zako zije, zifike na unyenyekevu kama Mungu uishivyo Wanipenda na hujawai niacha kuna muda sivumilii Bad