Posts

Showing posts with the label SDA

ZABRON SINGERS- SISI NDIO WALE LYRICS

Image
 Sisi ndio wale watoto wa Mungu Ukitugusa tapigwa na Mungu Na tulipo katuweka Mungu Ni mboni ya jicho lake huyu Mungu Sisi ndio wale twapendwa na Mungu Ukitugusa tapigwa na Mungu Chini juu katuleta Mungu Sio mchezo kupendwa na huyu Mungu Mungu ni mmoja hi dunia Nampenda namwamini Nmzungumzia Mungu mmoja yule wa upendo Pamoja twalisifu jina lake Ndiye Yesu mwenye jina kuu Heshima mamlaka vi mabegani mwake Na uweza na nguvu mtawala wa vyote Ndio maana twamsifu Hapa tulipo katuweka Mungu Hatungefika hapa bila yeye Nani wa kupinga Mungu akipanga hakuna mwingine kama huyu Mungu wetu Eh tunasema (eh ehe he ) Twapendwa (eh eh eh) Na Yesu  (eh eh eh) Ndio maana twamsifu Sisi ndio wale watoto wa Mungu Ukitugusa tapigwa na Mungu Na tulipo katuweka Mungu Ni mboni ya jicho lake huyu Mungu Sisi ndio wale twapendwa na Mungu Ukitugusa tapigwa na Mungu Chini juu katuleta Mungu Sio mchezo kupendwa na huyu Mungu Iwe shida na magonjwa Kiuma moyo hutibu Hata siwezi kueleza Mzuri ya huyu Yesu Tunalindwa tu

MSANII MUSIC GROUP- SHUSHA NYAVU LYRICS

Image
 Akiinua hakuna atakaye ishusha Akibariki hakuna takaye laani  Akikubali hakuna atakaye kanusha Neno lake lazima litimie  Akiinua hakuna atakaye ishusha Akibariki hakuna takaye laani  Akikubali hakuna atakaye kanusha Neno lake lazima litimie kwangu Wale wanafunzi wa Yesu walishinda usiku kucha  Wakivua samaki baharini Hadi asubuhi wasipate samaki hata mmoja  Wakamwona Yesu kasimama ufukweni wa bahari Akawaambia tupeni nyavu zenu upande wa kulia wa mashua Walishindwa kuwavuta samaki wengi (AH walishangaa sana) Je wajifunza nini kwa habari za Yesu Umesoma nini anaponena Yesu Je wasoma nini anapotoa amri Hata samaki na maji na watu waelewe Hakuna jambo linalomshinda Yesu Mahangaiko yako ni kitu kidogo kwake Uangalie upande wa kulia wewe upate jibu (*2) Lipo jambo limekutesa Lipo jambo limekusumbua Shusha nyavu upande wa kulia uone mambo (*2) Hakuna jambo linalomshinda Yesu Mahangaiko yako ni kitu kidogo kwake Uangalie upande wa kulia wewe upate jibu (*4)

MSANII MUSIC GROUP- KUZALIWA KWA BWANA LYRICS

Image
 Amezaliwa tumshangilie Amezaliwa tusherekee (*2) Dunia yetu imepata mkombozi Dunia yetu imepata Bwana Yesu ndiye wetu mkombozi Wanadamu tumepata aah (*2) Kuzaliwa kwa Yesu mbinguni waliimba Malaika mbinguni walishangilia Amani duniani kwa duniani yote Kwa wanadamu wote aliowaahidia waupate uzima Yesu alizaliwa kwa hori la ng'ombe Mama jusi wa mbali walifika kumwona Leo Yesu naomba uzaliwe moyoni Ili nipate njia ya kupata wokovu (*2) (Yesu kazaliwa) Bethlehemu bethlehemu Kalazwa horini, hori la ng'ombe (Wachunga kondeni) Walizipata walizipata Habari za Yesu amezaliwa (*2) Ni furaha kuu kumpata mwokozi (yesu) Malaika nao waimba mbinguni (leo) Haleluya bwana yesu kazaliwa (wote) wote tumwabudu tumsujudie wote tumwabudu tumsujudie (*2) Kuzaliwa kwa bwana kuzaliwa yesu  kuzaliwa kulitabiriwa (*2) Yusufu mariamu wazazi wa yesu Na nguvu za Mungu ziliwahukia Utukufu pia una mwana huyu wako kutuponya (*2) Kazaliwa kazaliwa kazaliwa messiah kazaliwa (repeat)